WELCOME

"Experience is not what happens to you; it is what you do with what happens to you." and "When you feel like giving up, remember why you held on for so long in the first place"Instead of giving myself reasons why I can't, I give myself reasons why I can." because always "When one door closes another door opens; but we so often look so long and so regretfully upon the closed door, that we do not see the ones which open for us."by ISI H


Tuesday, February 18, 2014

IRINGA YA SASA

Ni moja kati ya mikoa ambayo inajvunia kwa mandhari mazuri na utalii kutokana na mbuga na vivutio vizuri hapa nchini. Katika mikoa inayokua kwa kasi Iringa huto iacha nyuma hata kidogo. ni mkoa unaoonyesha ari ya kukua hii inajidhihirisha kutokana na majengo makubwa yanayojengwa katika mkoa huu na biashara mbalimbali zinazo jitokeza na kukua kila kukicha.
                                   

 Katika tathmini nilioifanya mimi binafsi ni kwamba Bei za vitu mbalimbali katika mkoa wa iringa inashahabiana sawasawa na bei za vitu katika mkoa wa Arusha. Kwa tathmini hii inaonyesha dhahiri kua mkoa wa iringa ni mkoa unao kua kwa kasi zaidi.
Kiwanja cha mpira chenye nyasi bandia iringa
                                     
                                              
 Ukiachana na vitu pia bei ya kiwanja au ardhi ni gharama sana kulingana na uchumi wa raia mwenye kipato cha chini. Licha ya hayo mkoa wa iringa sasa ni mkoa wenye vituo vya radio si chini ya Tisa, vyuo vikuu na vyuo vya ufundi vinaendelea kuongezeka katika mkoa huu.
                                         
  

Iringa ni mkoa ambao una ongezeko la magari na kuwa na foleni zadi hasa saa za asubuhi. Viwanda vingi vilivyopo Iringa, viwanja vya michezo, barabara za kisasa na vyuo ni moja ya vitu vilivyo fanya iringa kua na watu wengi na kuongezeka kila kukicha. Hii ndio irnga yetu.