WELCOME

"Experience is not what happens to you; it is what you do with what happens to you." and "When you feel like giving up, remember why you held on for so long in the first place"Instead of giving myself reasons why I can't, I give myself reasons why I can." because always "When one door closes another door opens; but we so often look so long and so regretfully upon the closed door, that we do not see the ones which open for us."by ISI H


Wednesday, December 12, 2012

KUMBUKUMBU YA TULIO WAPOTEZA 2012 JE UNAWAJUA?

 naomba nianze kwa dua mungu ibariki tanzania mungu ibariki afrika si vibaya tukajibu amen kwa kuwa yeye alie umba mbingu na aridhi anapaswa ashukuliwe kwa yote. ni wazi sasa mwaka wa 2012 tunaumaliza zikiwa zimebaki siku chache ili kuukaribisha mwaka 2013. kwa niaba ya waandishi wa habari wanaojitegemea na wasiojitegemea hatuna budi kuwakumbuka watu maarufu na wasanii wa hapa nchini kwetu tanzania walio tuacha na majonzi makubwa tukiwalilia lakini haikua riziki mungu akawachukua tunawaombea gheri baraka mungu awalaze mahalim pema peponi amin.

Ni masikitiko makubwa sana kwa tanzania kuondokewa na watu maarufu na majembe ambao walikua wakitegemewa na familia zao na taifa kwa ujumla ili waweze kuinua uchumi wa tanzani. kwa sasa nchi ambayo ndio inaanza kupata maendeleo kupotelewa na watu ambao walikua ni chachu ya maendeleo ni pigo kubwa sana.


mr ebo akiwa kwenye jeneza tayari kwa safari ya mwisho
  hajapita miezi mingi Tanzania tuliondokewa na mtu muhimu msanii mkongwe wa muziki aliekua akivutia sana watalii na watu ndani ya nchi aliekua akianza kujijenga na kupanda chati kwa kasi sana kwa staili yake aliokua akiitumia ulale pema mr Ebo. ni msanii aliekua mcheshi na muelewa kwa kila jambo alilokua akiambiwa....

  haijapita miezi kadhaa tena tukaondokewa na nguli wa filamu tanzania charles kanumba. tutakukumbuka sana kanumba kwa filamu zako zilizokua zinauza sana ndani na nje ya nchi.....


steven kanumba akiwa kwenye jeneza tayari kwa safari ya mwisho

Pia hatujakaa muda mrefu patrick mutesa mafisango katutoka kiungo wa simba sports club alie tegemewa na timu pia mashabiki wa simba katika kuinua simba mpaka kileleni tutakukumbuka patrick na tanahitaji na tutahitaji watu kama wewe ni pengo kubwa uliacha tanzania na tanzania simba sports club.....



mafisango enzi ya uhai wake





patrick mafisango akiagwa

si hao tu katika kipindi hiki cha 2012 tumepotelewa na msanii wa filamu ambaye pia yeye alikua akifuata nyayo za aliekua mkongwe wa filamu tanzania steven kanumba. tulipotelewa na john stephan a.k.a big mungu amlaze mahali pema.

john stephan enzi ya uhai wake
haikupita siku njingi pia tukampoteza muigizaji pia muimbaji wa muziki wa kizazi kipya maarufu kwa jina la sharo milionea kwa ajali ya gari ilio tokea maeneo ya muheza tanga pia hii ilituumiza sana watanzania.


sharo milionea enzi ya uhai wake
ila yote tisa kumi tumuachie yeye muweza wa yote nikimaanisha mwenyezimungu ndie atatoa hukumu kwa sisi sote. mungu aweke roho za marehemu hawa mahali pema peponi amiin. pia tunaomba mungu atufikishe mwaka mwingine kwa amani na upendo tukiwa na afya nzuri, eeh mungu tusaidie. kwa kumalizia ujumbe wangu ni tukeshe tukiomba maana hatujui saa wala siku.

Monday, December 10, 2012

RAYC amtembelea Rais Kikwete Ikulu jijini Dar, amshukuru kwa msaada wa matibabu.


RAY C akimshukuru Rais Kikwete kwa matibabu Ikulu jijini Dar es Salaam leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na Ray C watu kushoto,Mama yake mzazi RayC Bibi Margareth Mtweve (kushoto) na kulia ni Sarah Mtweve Dada yake Ray C. (picha na Freddy Maro).
Msanii wa Kizazi Kipya hapa nchini ,maarufu kama Bongo Flavour, Bi Rehema Chalamila anaejulikana zaidi kama Ray C, leo mchana amefika Ikulu ya Dar-Es-Salaam kumshukuru Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa msaada mkubwa wa matibabu yake ambayo yanafanyika jijini Dar-Es-Salaam chini ya uangalizi maalum
Ray C amefika Ikulu akiongozana na mama yake mzazi Bibi Margareth Mtweve ambaye pia amemshukuru Rais Kikwete kwa msaada huo mkubwa ambao umesaidia kurudisha hali ya kawaida ya Ray C.
Rais amempongeza Ray C kwa kukubali hali yake ya kiafya na hatimaye kukubali kupata matibabu ambayo bado anaendelea nayo chini ya uangalizi maalum.
Rais amemtaka mwanamuziki huyo kufuata masharti ya madaktari ili aweze kupona kabisa na hatimaye kurudia hali yake ya mwanzo na kurejea katika shughuli zake za kujitafutia kipato na maisha.
Kwa vile Ray C bado yuko katika matibabu, hatutaweka wazi sehemu anayotibiwa hadi atakapokuwa tayari kabisa kurudi katika shughuli zake rasmi hivyo tunaomba jamii impe ushirikiano huo na kuheshimu taratibu zake za matibabu ili hatimaye aweze kupona kikamilifu.
“MWISHO”

Tuesday, November 27, 2012

NINI KILINITOKEA MASAA KABLA YA KIFO CHA SHAROMILIONEA

sharomilionea enzi ya uhai wake
Ni wazi kuwa tanzania nzima kwa ujumla tumeguswa sana na kifo cha msanii wa kuchekesha sharo milionea. lakini kwa upande wangu nimeguswa zaidi kwa kuondoka kijana huyu mdogo ambae alikua akijitengenezea maisha yake ili aweze kujiweza kipindi cha uzee wake ama kweli kifo ni sekunde. hakijapita kipindi kirefu msanii wa kuigiza steven kanumba kuaga dunia na watu kupata mshtuko sana na kifon chake, na uhuhuda ukaonekana kwa kanumba kwamba alijua kwmba anakufa kulingana na matukio ya siku ile alio fariki, vivyohivyo kwa sharomilionea pindi anachati katika twte masage yake ya mwisho ilikua hivi...




gari alilopatia ajali baada ya ajali
siku hii ya tarehe 26 sitaisahau kwni pindi kabla sjapata taarifa ya msiba wa sharomilionea nilishuhudia ajali kubw mbaya sana iliyotokea maeneo ya tengeru wilaya ya arumeru arusha mtu kagongwa na gari aina ya fuso na kukanyagwa mwili mzima na kutolewa ubongo wote nje, baada ya hapo mida ya saa mbili usiku napigiwa simu na mwanahabari mwenzangu alioko tanga katika kituo cha habari mwambao akiniambia sharo milionea apata ajali maeneo ya muheza. nilihisi ni ndoto. lakini ilinibidi niamini kwani kazi ya mungu haina makosa mungu ailaze mahali peema peponi roho ya sharo mahali pema peponi amiin.

mwili wa sharomilionea baada ya ajali






Friday, November 16, 2012

MAAJABU YA TANZANIA









pamoja na amani ya nchi yetu tumejaaliwa kuwa na mbuga, mito, uoto mzuri tamaduni zenye kuvutia na wanawake wenye muonekano mzuri ni fahari yetu Tanzania. naipenda tanzania wewe je, i welcome all people in Tanzania and i respect Tanzania. HAYA NDIO MAAJABU YETU

Wednesday, November 14, 2012

MAMBO MATANO [5] YALETAYO UWEZO WA FIKRA

kwa salamu niseme asalam aleykum kwa wale waislam na bwana asifiwe kwa wale wakristo bila kusahau wale vijana wenzangu mambo vipi. napenda kuwakaribisha katika blog yangu mpya kabisa ambayo imesheheni habari motomoto. kwa vijana na rika zote kwa ujumla.

kama kijana wa kisasa umekabiliwa na changamoto nyingi za kimaisha kulingana na mfumo mzima wa maisha ya sasa yalivyo badilika. vijana wengi wa sasa wanashindwa kupambanua mambo na kujikuta katika hali ngumu ya kimaisha na kushindwa kujimudu kimawazo na hatimaye kupoteza dira ya maisha. nataka kukueleza ewe kijana wa sasa mambo matano ambayo yatafanya uweze kufikiria kwa kina mambo ambayo unaweza kukutana nayo katika maisha. nayo ni kama ifuatavyo

1. kuwa sambamba na muda, hakikisha katika maisha unakuwa sambamba na muda hii inakusaidia kufanya mambo kwa wakati na inaleta muhemko katika akili kwamba kwa muda huu ninatakiwa nifanye nini

2. pendelea kusoma vitabu au magazeti pindi unapokua uko free na kazi zingine, hii inafanya akili kupevuka kwa haraka na kujua vitu vingi.

3. michezo kama mpira, drafti, basket ball na mingine huitaji akili kuicheza na pia hutuliza akili kwa kujifurahisha, hufanya akili kua active.

4.fanya kazi muda mwingi kuliko kukaa katika vijiwe na kupiga soga, kukaa kwenye vijiwe kwa vijana kuna dumaza akili kwa sababu vijiwe huleta maneno machafu namaranyingine kugombana pasipo sababu ya msingi.


5. kula vyakula vya protini na wanga hivi huleta mabadiliko katika akili na kukufanya uwe na fikra nzuri pindi unapofanya mambo ya busara

Friday, September 21, 2012

HISTORY OF FREEMASON AND THEIR SYMBOLS


Barack Obama

ontradicted by the request of stakeholders in this network have decided to prepare this article Freemason .......  in many cases, especially the accident, eg explosion of the bombs the U.S. on September 11 and many others which exceed hid in three measures the world is the existence and operation is very dangerous to Freemason who is now the world has become a major threat to amid the refuse to be a wave of crash especially armed September 11, especially on the fuel mix, but keeps coming today I decided to prepare an article regarding the history of the Freemason from among various sources of information. move i

If you patiently read the following paragraphs of historical explanation, you may come to an understanding of "the hidden mysteries of nature and science". Then we can discuss Freemasonry, and you will see truths your Worshipful Master has never contemplated.From the Garden of Eden a battle has raged between two deadly enemies. The battle began when Lucifer incarnate the serpent, a man-like creature - great giant of a fellow, until God changed every bone in his body and put him upon his belly. Lucifer being God's right-hand man, knew that God's Plan was to build a kingdom. Knowing it would be inherited by Michael, (or Christ), he became jealous and set about gaining it for himself.
God commanded man to multiply, fill and subdue the earth, and to have dominion over it. But by his wisdom, Lucifer knew that as the seed of a horse can fertilize a donkey to produce the hybrid mule God never created, so the seed of the serpent could fertilize the woman and create a hybrid species uncreated by God. And whenever the offspring of Eve by the serpent intermingled with the seed of Adam, the progeny would always be serpent's seed, and NOT on the Book of Life. So he incarnate the serpent and seduced Eve.
From that time to this there have been two races of people on this earth. The seed of Cain, and the seed of Adam. Cain was begotten of that wicked one (I John 3:12). Abel was the son of Adam who was the (only) son of God (Luke 3:38).   God placed enmity, that's "hatred," between us. Lucifer knew that by miscegenation, he could exterminate the seed of Adam and thus fall heir to the kingdom of Christ.
In the time of Noah, God destroyed the world with the Flood because of miscegenation between the races of Adam and Cain. The serpent seed was in the Ark and it is with us to this day. It populated the land of Canaan, and afterwards spread throughout the world (Genesis 10:18).
God made a Covenant with Abraham, and promised his seed would inherit the land of Canaan. As the Promise unfolded we find Abraham's seed was not to be Ishmael, but would come through his wife Sarah.

Their son, Isaac, had twins. Isaac's first-born, Esau, sold his birthright to his younger brother, Jacob. Esau then married two serpent-seed women and an Ishmaelite, whose offspring intermarried with the serpent seed. Thus Esau committed "genocide" for that was the end of the Adamic lineage in Esau whose nation became known as Edom.
Edom is "The people against whom the Lord has indignation forever" (Malachi 1:4). It disappeared from history through miscegenation with Israel and has assumed the name "Jew".
God told Moses, when Israel conquers the Land, they must utterly slay all of its serpent seed inhabitants.   Israel were disobedient and eventually found themselves dominated and ruled by these people.
From before the days of Christ there was intense hatred between Rome and the "Jews". Jacob and Esau strove together in Rebecca's womb, and when Esau was born, Jacob grasped him by the heel. The hated and rivalry between these two enemies of God is to this day the root of earth's geopolitical struggles.
When the Ten Tribes of the Northern Kingdom began worshiping the pagan trinity, He dispersed them by the Assyrians. Later when the Southern Kingdom adopted this pagan worship, God sent Nebuchadnezzar to destroy Jerusalem and the temple, and take the people captive to Babylon.
At the end of the captivity, many of the Hebrew people declined to return. Remaining in Babylon, they intermarried and assimilated, so that for the next fifteen hundred years, Babylon, and not Jerusalem, was Israel's theological headquarters. Whilst the returnees brought with them the Babylonian fractional reserve banking system (usury), calendar, the synagogue form of worship, rabbis, Cabbala, and the beginnings of the Talmud and Pharisaism.
John Hyrcanus, Judah's high priest, seeking perhaps to heal the breach between the descendants of Esau and Jacob, forcibly converted the Edomites (or Idumeans) to Judaism. In 37BC, Herod the Great succeeded John when the Romans made him ruler of all Judea - now called Idumea, because of the overwhelming number of Edomites in the population.
Herod was an Idumean who married into John's family, the Maccabees. Thus by the time of Christ, the majority of "Jews" were unrelated to Abraham, Isaac and Jacob by blood, and certainly not by faith. The religion of the Judeans was no longer the Law and the Prophets, but "the traditions of the elders" which had been compiled as the Babylonian Talmud by about AD500. This Babylonian religion called "Pharisaism" became Talmudism. In turn, Talmudism became Medieval Rabbinism, which became Modern Rabbinism we call "Judaism" today.
Lucifer was trying to steal the Kingdom from Jesus Christ by the same ploy he used in the garden of Eden. Miscegenation. Esau's descendants controlled the temple through the dominance of the Pharisees, and their Edomite king ruled under Rome. They had assumed or stolen the identity of these so-called "Chosen People" and were certainly not willing to receive a Messiah and King from the House of David. This was why Herod tried to kill all the boy children from two years of age and less (Matthew 2:16).

Who killed the Lord Jesus? The Bible says it was "the chief priests and Pharisees" who accused Him and cried, "His blood be upon us and upon our children". Their hatred has not abated over the centuries today pagan Esau/Edom, who is not even on the Book of Life, continues to affront God and to persecute Jacob/Israel.
The spirit of Satan permeated the four Gentile empires of Babylon, Medo-Persia, Greece and Rome, destroying each from within. Finally he penetrating Christendom as once he infiltrated and usurped the Old Testament priesthood, transforming Imperial Roman rule into a FALSE religious power with the organization of the pagan Roman Catholic church at the First Nicea Council of AD325.

UFAHAMU UGONJWA WA TONSILS AMBAO UNAWAPATA WATU WENGI NA HAWAIJUI UNDANI WAKE

ni makala ya kingereza na unaweza ukaitafsiri ukipenda kwa kuielewa zaidi



 Tonsils and Tonsillectomy
What are tonsils and adenoids?  The tonsils are two clumps of tissue, on either side of the throat, embedded in a pocket at the side of the palate (roof of the mouth).  The lower edge of each tonsil is beside the tongue...way in the back of the throat.  The adenoids are a single clump of tissue in the back of the nose (nasopharynx).  They are located (in the adult) on the back wall of the throat (pharynx)...about one inch above the uvula (the little teardrop shaped piece of tissue that hangs down in the middle of the soft palate). 
What function do they serve?   Aren't they important?  The tonsils and the adenoids are mostly composed of lymphoid tissue, which is found thoughout the gastointestinal tract and on the base of the tongue.  Lymphoid tissue is composed of lymphocytes...which are mostly involved in antibody production.  Since we generally consider antibody production to be a good thing, many studies have been performed to try to clarify the importance of the tonsils.   There seems to be no adverse effect on the immune status or health of patients who have had them removed.  Any noticable effect has generally been positive. It appears that the tonsils and adenoids were not "designed" to effectively handle the multitude of viral infections that occur in children in an urban population.  Rather, the immune system, including the tonsils and adenoids, developed during a era where the child was rarely exposed to a large number of other people and the germs they carried.  It may also be that these organs are relatively more important in dealing with certain types of infections, such as worms or other parasites, that are relatively uncommon in today's society.  It is clear that in many cases, the tonsils and/or the adenoids become "dysfunctional" and are more of a liability than an asset.
How are tonsils removed?   There are many techniques used for tonsillectomy.  General anesthesia is usually employed; but it is possible to perform tonsillectomy with sedation and local anesthesia.  In the United States, some degree of electrocautery assisted dissection is most commonly employed, because of the ability to rapidly stop bleeding.  Some surgeons use very little cautery...with more bleeding, but with less burned tissue.   Use of lasers has been studied and considered by most surgeons.  We feel that laser use is primarily a marketing gimmack at this point, since it offers no apparent advantage over certain cautery techniques, and has some very real hazards and extra costs.
 and this is the type of tonsils you have to know...
1.Blockage of the throat...they are too big.
2.Chronic and recurrent tonsillitis...sore throats
3.White debris in the tonsils..."chronic cryptic tonsillitis".
4.Unusual enlargement or appearance.

UNDERSTAND THE BALANCE OF NATURE LEAD YOUR LIFE...

 


The balance of nature refers to the theory that ecological systems are usually in a stable equilibrium (homeostasis), which is to say that a small change in some particular parameter (the size of a particular population, for example) will be corrected by some negative feedback that will bring the parameter back to its original "point of balance" with the rest of the system. It may apply where populations depend on each other, for example in predator/prey systems, or relationships between herbivores and their food source. It is also sometimes applied to the relationship between the Earth's ecosystem, the composition of the atmosphere, and the world's weather.
The Gaia hypothesis suggests that the Earth and its ecology may act as co-ordinated systems in order to maintain the balance of nature

History of the theory

The concept is very old; Herodotus described the relationship between predator and prey species, and commented on how they were in an essentially static balance, with predators never excessively consuming their prey populations.The "balance of nature" concept once ruled ecological research, as well as once governing the management of, natural resources. This led to a doctrine popular among some conservationists that nature was best left to its own devices, and that human intervention into it was by definition unacceptable

Counter-arguments

The concept has been criticised in recent times as being a pseudoscientific fallacy. It was first put into question when a substantial number of studies showed that predator/prey populations display a continuing state of disturbance and fluctuation rather than constancy and balance. It has been proposed by some scientists that ecological communities of plants and animals are inherently unstable, due to substantial idiosyncratic differences in behavior among communities and individuals in them. An aggressive, dominant wolf for example can greatly increase the chances of a pack in securing food, just as the death of a pack leader can lead to the pack's mass starvation.

It is reasoned that any apparent equilibrium is illusory because external factors (such as variations in weather patterns, fires, hurricanes or disease) seldom allow ecological communities to stabilise.Dr. George L. Jacobson Jr., a paleoecologist at the University of Maine stated that according to ancient rock sediments; "[regarding natural systems] there is almost no circumstance one can find where something isn't changing the system.. it's never allowed to [stabilise], so we might as well not expect [balance] to exist."
In addition, some populations show chaotic behavior, where the sizes of populations change in a way that may appear random, but is in fact obeying deterministic laws based only on the relationship between a population and its food source. An example of this was shown in an eight year study on small Baltic Sea creatures such as plankton, which were isolated from the rest of the ocean. Each member of the food web was shown to take turns multiplying and declining, even though the scientists kept the outside conditions constant. An article in Journal Nature stated; "Advanced mathematical techniques proved the indisputable presence of chaos in this food web ... short-term prediction is possible, but long-term prediction is not."
Research into climate change has revealed a number of positive feedback mechanisms that could accelerate any global warming rather than reduce it. These include increased water vapor in the atmosphere (acting as a greenhouse gas); release of Carbon dioxide and methane from melting permafrost; and the decreased ability of warmed oceans to hold carbon dioxide. It is unclear whether negative feedback effects may counter these mechanisms.

Human intervention

Although some conservationist organizations argue that human activity is incompatible with a balanced ecosystem, there are numerous examples in history showing that several modern day habitats originate from human activity: some of Latin America's rain forests owe their existence to humans planting and transplanting them, while the abundance of grazing animals in the Serengeti plain of Africa is thought by some ecologists to be partly due to human-set fires that created savanna habitats.

 Continued popularity of the theory

Despite being discredited among ecologists, the theory is widely held to be true in the wider population: a report written by psychologist Corinne Zimmerman of Illinois State University and ecologist Kim Cuddington of Ohio University demonstrated that at least in Midwestern America, the "balance of nature" idea is widely held among both science majors and the general student population.
MORE CONTACT VIA MY EMAIL