WELCOME

"Experience is not what happens to you; it is what you do with what happens to you." and "When you feel like giving up, remember why you held on for so long in the first place"Instead of giving myself reasons why I can't, I give myself reasons why I can." because always "When one door closes another door opens; but we so often look so long and so regretfully upon the closed door, that we do not see the ones which open for us."by ISI H


Tuesday, November 27, 2012

NINI KILINITOKEA MASAA KABLA YA KIFO CHA SHAROMILIONEA

sharomilionea enzi ya uhai wake
Ni wazi kuwa tanzania nzima kwa ujumla tumeguswa sana na kifo cha msanii wa kuchekesha sharo milionea. lakini kwa upande wangu nimeguswa zaidi kwa kuondoka kijana huyu mdogo ambae alikua akijitengenezea maisha yake ili aweze kujiweza kipindi cha uzee wake ama kweli kifo ni sekunde. hakijapita kipindi kirefu msanii wa kuigiza steven kanumba kuaga dunia na watu kupata mshtuko sana na kifon chake, na uhuhuda ukaonekana kwa kanumba kwamba alijua kwmba anakufa kulingana na matukio ya siku ile alio fariki, vivyohivyo kwa sharomilionea pindi anachati katika twte masage yake ya mwisho ilikua hivi...




gari alilopatia ajali baada ya ajali
siku hii ya tarehe 26 sitaisahau kwni pindi kabla sjapata taarifa ya msiba wa sharomilionea nilishuhudia ajali kubw mbaya sana iliyotokea maeneo ya tengeru wilaya ya arumeru arusha mtu kagongwa na gari aina ya fuso na kukanyagwa mwili mzima na kutolewa ubongo wote nje, baada ya hapo mida ya saa mbili usiku napigiwa simu na mwanahabari mwenzangu alioko tanga katika kituo cha habari mwambao akiniambia sharo milionea apata ajali maeneo ya muheza. nilihisi ni ndoto. lakini ilinibidi niamini kwani kazi ya mungu haina makosa mungu ailaze mahali peema peponi roho ya sharo mahali pema peponi amiin.

mwili wa sharomilionea baada ya ajali






No comments:

Post a Comment