WELCOME

"Experience is not what happens to you; it is what you do with what happens to you." and "When you feel like giving up, remember why you held on for so long in the first place"Instead of giving myself reasons why I can't, I give myself reasons why I can." because always "When one door closes another door opens; but we so often look so long and so regretfully upon the closed door, that we do not see the ones which open for us."by ISI H


Wednesday, September 25, 2013

MAN U PINDI WAKIWAPA KIPIGO LIVERPOOL KATIKA PICHA

                             Check the technique: Hernandez leaps into the air as Wayne Rooney's corner found him free in the penalty area
       vernandez akipokea mpira wa kona uliopigwa na rooney na kupachika bao mtoto mbaya huyu


                        Roar: Javier Hernandez celebrates after handing Manchester United the lead at Old Trafford                                        javier hernandez kiungo wa man u akishangilia


BOTI YAUA WATU 12 KWA KUZAMA

Boti ambayo ina fanya safari zake katika ziwa tanganyika yasadikika imezama na kuuwa watu 12 na mpaka sasa yasadikika watu watatu waokolewa wakiwa hai chanzo cha habari hii ni jamii forum. meli hii imezama maeneo ya kipwa upande wa tanzania. blog hii itaendelea kutafuta habari hii na kukujuza zaidi

Saturday, September 21, 2013

HUYU NDIE MISS TANZANIA MPYA


HATIMAYE kitendawili cha nani atanyakua taji la Redd’s Miss Tanzania 2013 kimeteguliwa usiku huu na mrembo Happiness Watimanywa kutoka Mkoa wa Dodoma na Kanda ya Kati kufanikiwa kutawazwa Mshindi wa taji hilo na kuwashinda warembo wengine 29 waiokuwa wakiwania taji hilo.
Nyota ya Happiness ilionekana dhahiri kung’aa vyema katika fainali hizo mwaka huu tangu pale alipofanikiwa kutwaa taji la Miss Tanzania Photogenic 2013 na kuwa mrembo wa kwanza kuingia nusu fainali.
Wakati Happiness akinyakua Taji hilo pamoja na zawadi ya Gari na kitita cha shilingi Milioni 8 nafasi ya pili ilikwenda kwa mrembo Latifa Mohamed kutoka Kitongoji cha Kigamboni na Kanda ya Temeke na nafasi ya Tatu ikienda kwa Miss Tanzania Sports Woman, Clara Bayo.
Pamoja nao warembo wengine walio ingia hatua hiyo ya tano bora ni Lucy Tomeka na Elizabeth Prety. 
                     
                                      sherehe zikiendelea
 
                       
                                        burudani ni kawaida
  
                       
                                  kujichana misosi mizuri zuri
 
                        
huyu ndie miss tanzania 2013 Happiness Watimanywa akipunga mkono
 
 
                          
hili ndilo gari alilo kabidhiwa miss tanzania wengine huita ndinga wengine husema mkoko basi mbwembwe tu.

Monday, September 16, 2013

JE WAJUA MADHARA YA MITANDAO YA KIJAMII?

                     
Kiukweli kabisa pasipo kumeng'enya maneno, nchi zinazoendelea hususani nchi yetu ya Tanzania, muingiliano wa mitandao ya kijamii imeleta changamoto nyingi sana.

                           
Waangalie vijana wetu wenye miaka kuanzia 15-24 uone namna gani wameathirika na matumizi ya mitandao ya kijamii. Lakini pia waangalie baadhi ya vijana hasa wa kiume walivyokosa ustaarabu kwa kutumia mitandao ya kijamii kutongoza watoto wa kike! Sikatai, mnapokutana ndo mwanzo wa mambo mengine, lakini inapofikia wakati mtu kazi yake leo anamtongoza huyu, kesho karukia kwa yule tayari hapo tunakuhesabu wewe ni limbukeni wa maisha ya mtandaoni na maisha ya kawaida. Ifike wakati vijana hawa watambue kuwa mitandao ya kijamii ina staha yake.
                             
Watu wanasadiki kwamba pamoja na kuwasaidia watu kuwasiliana kwenye mitandao ya kijamii lakini pia inawapa watu nafasi ya kuwa na uzoefu katika matumizi ya kompyuta, simu, tablets n.k. Lakini pia watu wanasadiki pia matumizi ya mitandao ya kijamii inawafanya watoto kuwaweka mikononi mwa manyang'au pasipo kupenda, unaongeza nafasi ya kompyuta kushambuliwa kirahisi na virusi, lakini pia inapunguza sana utendaji wa kazi maofisini. Fikiria jinsi siku hizi wafanyakazi maofisini ni kwa kiwango gani wanatumia muda wao kwenye mitandao ya kijamii. Mtu yuko radhi aache kufanya kazi za ofisi zinazomlipa mshahara na kumfanya aishi mjini, anaendelea kuchati kwenye mitandao ya kijamii. Hii ndiyo teknolojia yetu. 
                                                    
Mwaka 2009 kwenye uchaguzi wa Iran, kulikuwa na uasi mkubwa katika nchi hii ambao nyuma ya pazia nchi ya marekani kwa ushirikiano mzuri sana na twitter waliendesha zoezi la uasi huu. Mapinduzi mbali mbali ambayo yametokea kwenye nchi mbali mbali miaka ya hivi karibuni imechangiwa sana na mitandao ya kijamii.
                         
Uchaguzi wa urais nchini marekani mwaka 2008 jamii ya kimarekani ilikuwa kwenye mitandao ya kijamii kwa kiwango kikubwa na hivyo kusaidia kufanya kampeni za uchaguzi kwa kasi kubwa sana. Kwa mfano, mgombea (wakati huo) Baraka Obama alikuwa na wafuasi kwenye facebook 2,379,102. Takwimu za Juni, 2012 inaonyesha Obama ana mashabiki 27,107,496 duniani kote kwenye mtandao wa facebook tu.
                         
Inasadikika kuwa Urusi ni nchi pekee duniani ambayo watu wake wanatumia muda mwingi sana mitandaoni kuliko nchi yoyote duniani ikiwa na wastani wa saa 6.6 kwa mwezi ukilinganisha na wastani wa kawaida wa dunia nzima ambao ni saa 3.7! Kwa hiyo kuna jamii kubwa sana ambayo inatumia mitandao ya kijamii kwa shughuli mbali mbali. Jamii forum kwa mfano ni mtandao ambao umekuwa ukikutanisha watanzania wengi sana katika masuala ya kijamii. Mtandao huu una idadi ya wanachama 80,867 (Takwimu za Juni 25, 2012) waliosajiriwa na mamilioni ya watu ambao hawajasaliri lakini wanautembelea mtandao huu kila siku. Kama kuna jambo lolote Tanzania limetokea kimbilia Jamii forum utaona mambo yake. Kwa hiyo mitandao hii ya kijamii kuna jamii kubwa sana imo huu mitandao ikikutana pamoja kwa ajiri ya mambo mbali mbali ya kijamii. Toleo lijalo nitaongea kwa upana na marefu kuhusu faida na hasara na kukamilisha makala hii ya athari za mitandao ya kijamii katika maisha ya watu.
Hii ndiyo Teknolojia Yetu.

Friday, September 13, 2013

KUVURUGIKA NA KUPOTEA KWA MAADILI BONGO WATU WAWILI HUUSIKA

Ni kazi sana kujua lakini si kazi kuhisi, ni wazi kabisa kua tanzania na dunia kwa ujumla imechafuka kwa kukosa maadili na kufanya mambo ambayo si heshima na si ustaarabu. na je ni nani muhusika mkubwa ambae anachochea tanzania yetu kuharibika na kukosa heshima kwa vizazi vijavyo?
                                       

                                        

Ni wazi kua kuna pande mbili ambazo zikifanya vibaya yani kukosa heshima na busara basi vizazi vijavyo navyo hukosa heshima na busara.

1. WASANII hawa tunawaita kioo cha jamii pia wanamchango mkubwa sana katika kuipeleka tanzania mbele kuitangaza na kujulikana zaidi. wasanii ni watu ambao wako tofauti hata kimuonekano kwenye jamii. watu wengi hupenda kuwaiga na hupenda kuwa kama wao hasa vijana. lakini pindi msanii akiwa na skendo za ajabu na kujidhalilisha basi na vijana na kizazi kijacho atafanya mambo hayo pasi na kujali na huona ni kawaida.


2.WANASIASA. hawa pia ni watu muhimu ambao huendesha nchi kwa kufuata sheria ya nchi na katiba pindi mwanasiasa akivunja sheria na kutochukuliwa hatua basi wananchi hasa wa hali ya chini huwa hawana amani na kupoteza uaminifu na vurugu.
                                       

                                               
  Kama hivi vitu vitatumika ipasavyo basi tanzania yenye amani na maadili itapatikana na kujenga picha nzuri ndani na nje ya nchi yetu.

Tuesday, September 10, 2013

TAMBUA CHUO CHA IRINGA RETCO BUSINESS COLLEGE KATIKA PICHA

                    
Ni chuo maridadi katika masomo ya biashara na kinatoa mafunzo kwa uhakika kwa vitendo na masomo ya computer na kina mandhari ya kuvutia kama uonavyo hapo chini.






 

hiyo ni sehemu mojawapo ambayo wanafunzi hutumia kupumzikia na kujisomea wakipata upepo mwanana.



                       
                                                                                                
hii ni moja ya computer room ambayo wanafunzi hutumia kama sehemu ya kujifunzia na kuongeza ufahamu.

                                                                                                                 
packing kwa ajiri ya magari na ofisi ni vitu muhimu kuwepo katika chuo ndivyo ilivyo pia katika chuo cha iringa retco business college.
       
                                                                                           
kuibiwa mali ni rahisi sana lakini kuibiwa elimu ni ngumu karibuni iringa retco business college upate elimu bora na si bora elimu. 



HUGGING HOW CAN AFFECT YOUR BODY

Hugging a loved one isn't just a great way to bond - it has several physical benefits as well.
Scientists found that the hormone oxytocin was released into the blood stream when you hold a friend close. This lowers blood pressure, reduces stress and anxiety and can even improve your memory.
                                                
However, you have to be selective over who you hug. Giving a polite embrace to someone you don't know well can have the opposite effect, according to research from the University of Vienna.
                                               
Oxytocin, a hormone produced by the pituitary gland, is primarily known for increasing bonding, social behaviour and closeness between parents, children and couples.
Increased oxytocin levels have been found, for example, in partners in functional relationships. In women, it is also produced during the childbirth process and during breastfeeding in order to increase the mother’s bond with the baby. 

Hugging can also soften your personality. The researchers said someone who hugs loved ones often become more empathetic over time.
                                           
Neurophysiologist Jürgen Sandkühler, said: 'The positive effect only occurs, however, if the people trust each other, if the associated feelings are present mutually and if the corresponding signals are sent out.
'If people do not know each other, or if the hug is not desired by both parties, its effects are lost.