WELCOME

"Experience is not what happens to you; it is what you do with what happens to you." and "When you feel like giving up, remember why you held on for so long in the first place"Instead of giving myself reasons why I can't, I give myself reasons why I can." because always "When one door closes another door opens; but we so often look so long and so regretfully upon the closed door, that we do not see the ones which open for us."by ISI H


Friday, December 6, 2013

TUTAKUKUMBUKA MZEE NELSON MANDELA

Ni moja ya viongozi mahiri sana duniani walio hitaji haki na usawa na walio hitaji kila mtu awe na maisha mazuri, Nelson Mandela alikua ni mmoja wapo.
                                           
Ni kiongozi aliejali na kuhakikisha nchi ya Afrika kusini inakua inatawaliwa na waafrika kusini hii ndio ilikua azimio lake kubwa na akafanikiwa katika hili pia ndio swala lililo onekana ni jambo busara kwa watu wengi duniani na ndilo lililo mpa mtu huyu ari pamoja na kufungwa na makaburu hakujali hilo aliendelea kupambana kupinga itikadi za ubaguzi wa rangi. yeye alikua mwalimu kwa watu wengi.

Mzee Nelson Mandela maarufu kama Mzee Madiba amefariki akiwa na umri wa miaka 95 Mungu ailaze mahala pema peponi mzee nelson mandela amiin.

ALWAYAYS WE WILL REMEMBER MANDELA

No comments:

Post a Comment