WELCOME

"Experience is not what happens to you; it is what you do with what happens to you." and "When you feel like giving up, remember why you held on for so long in the first place"Instead of giving myself reasons why I can't, I give myself reasons why I can." because always "When one door closes another door opens; but we so often look so long and so regretfully upon the closed door, that we do not see the ones which open for us."by ISI H


Sunday, April 6, 2014

TAMAA NI BALAA

  Mara nyingi watu huendeshwa na moyo pia fikra, unapoendeshwa na moyo mara nyingi huwa ni tamaa ila mara chache huwa ni kweli. pia fikra nazo zina pande mbili vile vile tamaa na kweli.

  Sasa nini maana ya tamaa, Ni kile kitu ambacho unapenda kiwe pasi na kushirikisha vitu viwili yani moyo na fikra. hii ni maana fupi tu ya neno tamaa. kwa maana hiyo tamaa huwa inakuja kwa kushirkisha kitu kimoja tu yani moyo au fikra.

  NINI ATHARI ZA TAMAA
Mara nyingi tamaa huja pale ambapo huna kitu lakini unatamani kuwa nacho. hutokea kwa tajiri au masikini. Mara nying hasa vijana huwa na tamaa mbalimbali kama za kimwili au tamaa ya pesa. tunapenda kuwa na wanawake wazuri pia tunapenda kuwa na nyumba, magari ya kifahari na kuwa mastar kabla ya muda hujafika na vitu hivi tunapenda vije haraka sana na hilo ndio kosa letu. Hii hufanya watu kuuwa wenzao na pia kuwekeana vilema na kuwa watu makatili zaidi ya wanyama. Imani yetu ipo wapi kama binadamu tunakuwa zaidi ya wanyama. yote hii kwa sababu ya pesa na mapenzii na hapa ndipo tamaa huitwa balaa kila siku vioja na skendo zisizo kwisha.na mwisho wa tamaa ni majuto na aibu.



USHAURI
Tamaa tuache vijana wenzangu lazima tushirikishe moyo, fikra na akili ndipo tuchukue maamuzi sahihi katika maisha tamaa ndio huponza kichwa na mwili. Tambua tamaa ni balaa..

No comments:

Post a Comment